AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa HipHop @baghdad_pg ameonesha kusikitishwa kukuta Album ya msanii mwenzake kutoka kiwanda cha muziki wa BongoFleva @officialalikiba ikiuzwa mtaani na wauza CD.
Bhagdad ambae ni moja ya viongozi wa moja ya makundi ya wasanii hapa nchini ameeleza kuwa wauza CD hao wanachoma CD kwenye vibanda vya kariako na wanalipia na kisha kuhoji kama serikali imeshindwa kusimamia swala hilo yeye anaweza, anachohitaji ni ruhusa tu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK