Msemaji Mkuu wa Serikali Atoa Ufafanuzi Kuhusu Wamachinga Wanao Ondolewa Maeno Wanaofanya Biashara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


"Wamachinga wanaopangwa ni wale waliokuwa wanaendesha biashara zao kwenye maeneo ambayo yamepangiwa shughuli nyingine kama wanaofanya biashara juu ya mifereji ya maji sio sawa.

Serikali imeona iwapangie eneo ambalo hawaataathiri eneo jingine la miundombinu lakini huleti athari za kiusalama kwa ajili yako mwenyewe na viongozi wa Serikali watamfuata na kumwelekeza sehemu sahihi iliyotengwa kwa ajili ya kufanyia biashara lakini pia tunataka miji yetu iwe nadhifu" @gersonmsigwa, Msemaji Mkuu wa Serikali.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad