AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena ya clouds FM @mwijaku ambae pia alikua mshereheshaj katika shughuli ya @officialalikiba ya uzinduzi wa Album yake ya Only One King' amefunguka kuwa ni kweli @officialshilole hakuwepo kwenye utaratibu wala ratiba ya kuzungumza katika shughuli ile.
Mwijaku ameeleza kuwa aliweza kumpatia nafasi #Shishi kwa mapenzi na mahaba yake binafsi na msanii huyo -kwa kuwa anaa mahusiano nae mazuri , lakini uongozi wa AliKiba ,utaratibu wala ratiba haikumtaja shilole kuzungumza ama kutambulisha wimbo wowote katika shughuli hiyo.
✍🏾@keviiiy.iam
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kumekucha, aombe msamaha kwa kiba kwa ushudu alioubonga anakua akiropoka mpaka yasiyohusiana na maada
ReplyDelete