AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Marekani imekubali kutoa misaada ya kiutu kwa Waafghanistan wanaokabiliwa na mzozo wa kiuchumi ingawa imekataa kuitambua kisiasa serikali ya Taliban inayotawala taifa hilo kwa sasa.
Taarifa hii imetolewa mwishoni mwa mazungumzo ya moja kwa moja kati ya mahasimu hao wa zamani tangu kukamilika kwa mchakato wa Marekani wa kuwaondoa wanajeshi wake nchini Afghanistan uliogubikwa na ghasia mwishoni mwa mwezi Agosti.
Marekani kwenye taarifa yake imesema kwa kifupi kwamba pande hizo mbili zilijadiliana kuhusiana na msaada huo wa kiutu ambao imekubali kuutoa moja kwa moja kwa watu wa Afghanistan ingawa imesema hayafungui njia ya kuitambua serikali ya Taliban.
Mazungumzo hayo yalifanyika Doha huku Taliban ikisema yalikwenda vizuri na Marekani ikisema yalikuwa ya uwazi na ya kitaalamu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK