Aliyeziba njia Watu Wasipite Apelekewa 'Grader'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA






Njia ya wapita kwa miguu ya mtaa wa Nyamrugo, manispaa ya Bukoba iliyokuwa imefungwa na mchungaji wa kanisa la Chemchemi Israel Mlaki, imefunguliwa baada ya viongozi wa manispaa hiyo kufika na kuviondoa vizuizi vilivyokuwa vimewekwa na mchungaji kwa madai ya kwamba hilo ni eneo la kanisa.


Wakizungumza baada ya vizuizi hivyo kuondolewa, baadhi ya wananchi wa mtaa huo wamesema kuwa wameteseka kwa muda mrefu na sasa wanaona kama wamepata Uhuru, huku mchungaji Mlaki anayedaiwa kuziba barabara hiyo akikataa kuhojiwa.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad