Breaking News : Boardroom Lodge Yawaka Moto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




MOTO mkubwa umezuka na kuunguza Boardroom Lodge (sehemu ya kulala wageni) iliyopo Sinza-Mapambano jijini Dar es Salaam, mchana huu wa leo, Novemba 1, 2021 huku chanzo cha moto huo kikiwa hakijajulikana.
Tayari kikosi cha Zimamoto na Uokoaji kimefanikiwa kufika na kuudhibiti moto huo kwa kushirikiana na wasamaria wema waliokuwepo eneo la tukio.
Hata hivyo hakuna taarifa za majeruhi wala vifo vilivyosababishwa na moto huo huku tathmini ya madhara ikiwa haijafahamika.
Tukio hili linatokea ikiwa ni wiki moja tu tangu The Cask Bar iliyopo Rocky city Mall jijini Mwanza kuteketea usiku. Miezi mihache iliyopita, La Chaz Pub iliyopo Sinza Mori jijini Dar nayo iliteketea kwa moto.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad