AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dodoma. Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) kinaendelea na uchunguzi wa tuhuma za rushwa ya ngono inayomkabili mhadhiri wa chuo hicho, Basil Mswahili.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Oktoba 28,2021 , mhadhiri huyo alisimamishwa kazi Oktoba 25,2021 hadi hapo uchunguzi dhidi ya tuhuma hizo utakapokamilika.
Mswahili ambaye ni mhadhiri katika ndaki ya sayansi za jamii, jinsia na sanaa katika idara ya lugha za kigeni na fasihi anayefundisha lugha ya Kifaransa alisimamishwa baada ya vikao vya awali vya uongozi wa vyuo hivyo.
Soma zaidi:Udom yamsimamisha mhadhiri kwa tuhuma za ngono
Akizungumza na Mwananchi Digital mkuu wa kitengo cha mawasiliano ya umma na masoko katika chuo hicho, Beatrice Baltazary amesema bado mchakato wa uchunguzi unaendelea.
“Bado tunaendelea na uchunguzi kuna kuandika barua na kamati ya nidhamu kujibu na mambo mengine,”amesema.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK