Mhadhiri anayetuhumiwa kwa rushwa ya ngono Udom aendelea kuchunguzwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Dodoma. Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) kinaendelea na uchunguzi wa tuhuma za rushwa ya ngono inayomkabili mhadhiri wa chuo hicho,  Basil Mswahili.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Oktoba 28,2021 ,  mhadhiri huyo alisimamishwa kazi Oktoba 25,2021 hadi hapo uchunguzi dhidi ya tuhuma hizo utakapokamilika.

Mswahili ambaye ni mhadhiri katika  ndaki ya sayansi za jamii, jinsia na sanaa katika idara ya lugha za kigeni na fasihi anayefundisha lugha ya Kifaransa alisimamishwa baada ya vikao vya awali vya uongozi wa vyuo hivyo.

Soma zaidi:Udom yamsimamisha mhadhiri kwa tuhuma za ngono

Akizungumza na Mwananchi Digital mkuu wa kitengo cha mawasiliano ya umma na masoko katika chuo hicho, Beatrice Baltazary amesema bado mchakato wa uchunguzi unaendelea.

“Bado tunaendelea na uchunguzi kuna kuandika barua na kamati ya nidhamu kujibu na mambo mengine,”amesema.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad