AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tangu mobetto aanze kuzushiwa kuwa anauhusiano na Rickross, amekuwa akikana sana na mpaka sasa hajawahi kukubali kuwa anauhusiano wa kimapenzi na Rickross.
Mobetto Anachosisitiza kwa Watanzania ni kwamba yeye na Rickross wapo kibiashara tu na sio kivingine ambavyo Wabongo wanafikiria
Inawezekana kweli mobetto yuko sahihi maana Kwenda disco moja na Rickross then kushikwashikwa kote kule sio lazima wawe wapenzi. Maana sikuhizi Dunia iko mbali sana mtu yoyote anaweza akakubambia tu.
Mobetto hawezi kabisa kudate na Rickross maana wanaheshimiana kama kaka na dada na Hawakufanya lolote usiku ule, anayebisha aje na USHAHIDI.
(Fursa Kwa Wenye maduka ya nguo, kama unataka kufanya kazi na mimi check me inbox Tuyajenge Chapchap, usichukulie poa ni mchongo wa maana sana kwaajiri ya kukuza biashara yako)
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK