AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sara Duterte, mtoto wa kike wa rais wa Ufilipino anaemaliza muda wake, anatarajiwa kugombea wadhifa wa makamu wa rais katika uchaguzi ujao wa 2022.
Awali Meya huyo wa jiji la Davao alitarajiwa kugombea kiti cha urais kwa nia ya kumrithi babake, ambaye anazuiwa kikatiba kuwania muhula wa pili wa miaka sita.
Aidha Rodrigo Duterte anakabiliwa na uchunguzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kuhusu hatua kali alizozichukua katika vita alivyovitangaza vya kupambana na madawa ya kulevya nchini mwake.
Iwapo atashinda, familia ya Duterte itaendelea kuwa katika wadhifa wa juu wa uongozi, na atakuwa katika nafasi nzuri ya kugombea urais katika uchaguzi wa mwaka 2028.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK