Mtoto wa Duterte kugombea umakamo wa rais Ufilipino

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Sara Duterte, mtoto wa kike wa rais wa Ufilipino anaemaliza muda wake, anatarajiwa kugombea wadhifa wa makamu wa rais katika uchaguzi ujao wa 2022. 


Awali Meya huyo wa jiji la Davao alitarajiwa kugombea kiti cha urais kwa nia ya kumrithi babake, ambaye anazuiwa kikatiba kuwania muhula wa pili wa miaka sita. 



Aidha Rodrigo Duterte anakabiliwa na uchunguzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kuhusu hatua kali alizozichukua katika vita alivyovitangaza vya kupambana na madawa ya kulevya nchini mwake. 



Iwapo atashinda, familia ya Duterte itaendelea kuwa katika wadhifa wa juu wa uongozi, na atakuwa katika nafasi nzuri ya kugombea urais katika uchaguzi wa mwaka 2028.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad