AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwigizaji maarufu hapa Tanzania @dorahofficial katika mahojiano na DizzimTv (Class Room) amefunguka kua yeye bado ni bikra pia sababu za yeye kupelekea kua bikra.Katika mahojiano amefunguka haya:•
"Mimi ni Maria ani namaanisha Mimi ni Bikra sijawai kufanya mapenzi na mwanaume yoyote na pia nina mahusiano yangu najua watashangaa inakuaje na mahusiano huku bado bikra 'NDIYO SIJAWAI' mtu wangu utakuta nimejiandaa kila kitu afanye ila anaishia kuniangalia tu hua inanikwaza Mara zote sipendi mtu anionee huruma"-Ameongea Dorah
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK