Rapper P Mawenge Awasaliti Kikosi Kazi, Adai Weusi Ndio Kundi Bora la Hip Hop Tanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Msanii wa Hip Hop nchini na member wa kundi la muziki la Kikosi Kazi, @pmawenge ameachia wimbo unaitwa Nahamia Weusi kitu ambacho kimeleta maswali kwa mashabiki wengi wa muziki hasa wa Hip Hop ambao wanaelewa wazi Battle la Kikosi Kazi na Weusi kwenye hili game. Kwanini imekuwa hivi kwa P Mawenge, na kwanini hasichukuliwe kama snitch kwa wanae?

Akiwa kwenye Empire ya EFM,P Mawenge ameeleza sababu za Nahamia Weusi,akiwataka watu kuwa inabidi waelewe Kikosi Kazi na Weusi hawana uhasama wowote ule, hivyo hizo battle za kwenye muziki zisichukuliwe kuwa watu hawa hawawezi kukaa pamoja kwenye maisha ya kawaida au kufanya collabo kwenye muziki.

Sababu nyingine, P Mawenge amedai kuwa ukiacha kushambuliana kwenye nyimbo zao, ila huwezi kubisha kuwa Weusi sio kundi bora zaidi kwa sasa,akidai si kila kitu cha kupinga vingine vya kuiga,weusi wameweza kuliimarisha kundi lao na kulifanya kundi kubwa kwenye huu muziki bila kuvurugana, na wamedumu kwa muda mrefu kitu ambacho makundi Mengi yamefeli. Hivyo weusi ni kundi bora kiuendeshwaji ila Kimichano, Kikosi Kazi ndio Mateacher wao
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad