Ray C Atema Nyongo "Hisia Zangu Sio Nzuri Bifu ya Mondi na Harmonize Itasababisha Mauti"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva @rayctanzania ameandika ujumbe kupitia Instastory yake kuwa mwisho wa msuguano kati ya #Diamond na #Harmonize unaweza kuwa mbaya kama mambo yasipotatuliwa mapema

Ray C ameandika kuwa Watanzania hatupaswi kufurahia hili kama kweli tunawapenda wasanii hao. Hii ni vita kubwa sana ya kuharibiana Brand




HABARI KAMA  HIZI UNAZIPATA KUTOKA APP YA UDAKU SPECIAL PEKEE  DOWNLOAD  HAPA UWE NAYO KWENYE SIMU YAKO


Msanii huyo ameendelea kwa kuwaomba viongozi wa serikali waingilie kati na kutatua tofauti ambazo zipo kati ya wawili hao
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Actually this should be settled fast because it will end with Worst Worst Worst impacts..



    Several month ago before even this happen i dreamed
    a very bad dream bad dream about these singers...So they should make decision fast to end this before that happen


    This conflict actually will not end today, it will be continous

    ReplyDelete

Top Post Ad