Tunda Avunja Ahadi yake ya Kujiua

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mchumba wa msanii Whozu Cappuccino Tunda amevunja ahadi yake ya kutaka kujiua endapo asipoolewa mwaka huu kwa sababu kuna vitu vimemshawishi kwenye maisha ya u-single.
Kupitia Insta Story yake Cappuccino Tunda ameandika kwamba "Nilisema mwaka huu nisipoolewa najiua, kuna marekebisho ya kiufundi yamejitokeza nasogeza hadi mwakani mweiz kama huu".

"Kuna vitu vimeni-inspire kwenye maisha ya u-single nimeona niendelee kubaki single"

Ikumbukwe Tunda tayari ameshavalishwa pete ya uchumba na Whozu na wamebahatika kupata mtoto mmoja wa kike.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad