AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchumba wa msanii Whozu Cappuccino Tunda amevunja ahadi yake ya kutaka kujiua endapo asipoolewa mwaka huu kwa sababu kuna vitu vimemshawishi kwenye maisha ya u-single.
Kupitia Insta Story yake Cappuccino Tunda ameandika kwamba "Nilisema mwaka huu nisipoolewa najiua, kuna marekebisho ya kiufundi yamejitokeza nasogeza hadi mwakani mweiz kama huu".
"Kuna vitu vimeni-inspire kwenye maisha ya u-single nimeona niendelee kubaki single"
Ikumbukwe Tunda tayari ameshavalishwa pete ya uchumba na Whozu na wamebahatika kupata mtoto mmoja wa kike.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK