Unaponunua LUKU iingie Moja Kwa Moja Kwa Mita Badala ya Kutumia Token

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mshiriki wa #StoriesOfChange ameshauri mfumo wa manunuzi ya umeme usihusishe namba za kuweka kwenye mita(Remote) ambapo mara nyingine huharibika na kusababisha usumbufu kwa wateja

Mdau huyu ameshauri kama ilivyo kwenye ving’amuzi na huduma nyingine, mtu anaponunua umeme uweze kuingia moja kwa moja badala ya kuwa na hatua zaidi ya moja


Anasema hii itasaidia ikiwa mtu yupo mbali na kwake na umeme ukakatika ambapo ataweza kuingiza umeme bila kuwepo nyumbani

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad