Mama Samia "Kuna Makundi Ndani ya Serikali ya Awamu ya Sita Wanasema Ufisadi Umerudi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


"Kuna makundi wanajua wanayoyafanya ndani ya Serikali, ni makundi hayohayo yanageuka kusema Serikali ya Awamu ya Sita ufisadi umerudi, mambo yako hovyo kumbe wao ndio wako hovyo na mambo yale hayakufanyika ndani ya Awamu ya Sita, yalifanyika huko nyuma gari bovu linaangushiwa Awamu ya Sita, sitakubali, sitakubali, niliapa kusimamia haki za Wananchi nitasimama nao nitasimama kutetea haki za Wananchi sitakubali"———Rais Samia akizindua maboresho ya gati (0-7) Bandari ya Dar es salaaam
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad