AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Maneja wa Diamond na Mbunge Morogoro Ameandika haya :
"Siku tatu zijazo yaani tarehe 31/12/2021, naenda kutimiza miaka 40 kwa uwezo wake Mola inshallah.
"Ila kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu nitaitimiza miaka 40 bila mke, lakini nina watoto wanne (4).
"Uzee bila Mwenza ni mtihani ila bado nasubiri wakati wa Mungu ufike ndipo nitakapo fanya maamuzi.
"Kuhusu majiamoto bafuni nitaweka hita au jiko la mkaa .
"Asante Mungu kwa kuendelea kunilinda na kunipa uimara, naomba uendelee kunipa nguvu ya kulitumikia jimbo letu la Morogoro Kusini Mashariki na kulilinda kwa mikono yako, maana matarajio ya kazi nitakazozifanya Mwaka ujao, Mungu pekee ndiye anajua inshallah.
"Mungu awabariki. Naanza kupokea zawadi ndugu zangu" ✍️@babutale
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK