Raia wamechoka kuisikia familia hii

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Raia wameanzisha 'petition' mtandaoni kwa vyombo vya habari kuacha kufanya mahojiano na Will Smith na mkewe Jada Smith baada ya kuchoka kusikia story za ndoa yao.

Will na Jada tangu waachane wamezunguka katika vyombo vya habari kutoa siri zao za ndani, na sasa mashabiki hawataki kusikia tena story zao na kuanzisha petition ambayo ilianza kwa kuhitaji sign 500 na baadae ikaongezwa mpaka sign 1500 kuwataka waandishi wa habari waache kuwafanyia mahojiano, na mpaka sasa zaidi ya raia 1200 wamesha sign.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad