Unaambiwa Salum Aboubakary ‘Sure Boy’ amejiunga rasmi na mabingwa wa kihistoria Young Africans S.C

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kutoka kusomea ufundi wa magari hadi kuwa kiungo fundi kwenye soka, Salum Aboubakary ‘Sure Boy’ amejiunga rasmi na mabingwa wa kihistoria Young Africans S.C.

Sure Boy alivunja mkataba wake na Azam FC baada ya kusimamishwa kwa muda usiojulikana kutokana na makosa ya kinidhamu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad