AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kutoka kusomea ufundi wa magari hadi kuwa kiungo fundi kwenye soka, Salum Aboubakary ‘Sure Boy’ amejiunga rasmi na mabingwa wa kihistoria Young Africans S.C.
Sure Boy alivunja mkataba wake na Azam FC baada ya kusimamishwa kwa muda usiojulikana kutokana na makosa ya kinidhamu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK