Hivi Ndivyo Mshambuliaji wa zamani wa Brazil, PELE Alivyojipatia Milion 277 Kisa Kamba za Viatu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mshambuliaji wa zamani wa Brazil, PELE akifunga kamba viatu vyake aina ya Puma kabla ya kuanza kwa mechi ya fainali ya kombe la dunia tarehe June 21, 1970 dhidi ya Italia kwenye dimba la Estadio Azteca huko nchini Mexico.

Katika mechi hiyo Brazil waliibuka na ushindi wa mabao 4-1 .

Pichani muamuzi wa mchezo huo Rudi Glockner kutoka Ujerumani akisogea katika tukio hilo lillloshuhudiwa ulimwenguni kote baada ya camera zote zilizokuwa uwanjani kumulika alichokuwa akifanya Pelé.

Kutokana na tukio hilo kampuni ya vifaa vya michezo ya Puma ilimlipa Pele kiasi cha dola 120,000 zaidi ya milioni 277 za kitanzania kwa kuitangaza bila kutegemea

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad