Kufuru..Kocha Pitso Ataka Mshahara wa Tsh Mil 450 Kwa Mwezi Al Ahly

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kocha wa Al Ahly ya Misri Pitso Mosimane (57) Raia wa Afrika Kusini inaripotiwa kuwa ametaka mshahara wa USD 195,000 (Tsh milioni 450) kwa mwezi katika mpango wa kuongeza mkataba mpya Al Ahly, ikiwa ni ongezeko la USD 50,000 (Tsh Milioni 115) kutoka kwenye mshahara wake wa sasa.

Mkataba wake mpya anataka uwe na kipengele cha miezi 6 kupewa taarifa kabla ya kuvunja mkataba wake kutoka miezi mitatu iliyokuwa kwenye mkataba wa sasa.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad