AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo kidato cha nne ambapo Watahiniwa wa Shule 422,388 (87.30%) kati ya Watahiniwa 483,820 wamefaulu Mitihani yao "ongezeko la ufaulu ni 1.46% ikilinganishwa na mwaka 2020"
"Wasichana waliofaulu 218,174 (85.77%) na Wavulana wapo 204,214 (89.00%)"———Katibu Mtendaji NECTA, Dkt. Charles Msonde
Soma Matokeo HAPA
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK