AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
STAA anayekipiga katika timu ya PSG, Lionel Messi amekutwa na maambukizi ya Virusi vya Corona.
Klabu hiyo ya Ufaransa imethibitisha kuwa Messi pamoja na wachezaji wengine watatu wamekutwa na Corona, hivyo wataukosa mchezo wa kesho wa Coupe de France dhidi ya Vannes.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK