Mchezaji Lionel Messi Akutwa na Corona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




STAA anayekipiga katika timu ya PSG, Lionel Messi amekutwa na maambukizi ya Virusi vya Corona.

Klabu hiyo ya Ufaransa imethibitisha kuwa Messi pamoja na wachezaji wengine watatu wamekutwa na Corona, hivyo wataukosa mchezo wa kesho wa Coupe de France dhidi ya Vannes.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad