Nimejirizisha Pa Sina Shaka Ile VIDEO Sio Meena Ally , Washenzi Wameamua Kumchafua..Haya Ndio Niliyogundua

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Pole sana Meena Ally, mimi pia nimejifunza sana, hii mitandao inaweza kukupelekea kwenye utindio wa ubongo.

Jana ilisambaa video chafu na watu wakawa wanadai kwamba yule dada ni mtangazaji maarufu, Meena Ally. Meena akajaribu kujitetea kwamba sio yeye lakini mpaka leo hii baadhi ya watanzania hawaelewi wanaendelea kushikilia bango.


Leo nimepita Jamii forum nikapata data fulani na nikazifuatilia zaidi na mpaka sasa nimejiridhisha kabisa kwamba yule dada sio meena.

Huyo mdada na jamaa sio hata watanzania, wameigiza video kadhaa nyingine zikiwa na sura bayana. By the way, Video nzima iko kwenye Website maarufu ya Video za kikubwa na ina dakika 5 cha kushangaza kwanini aliyeamua kumchafua Meena Ally ameamua kuitrim (Kuikata) mpaka sekunde 5 tu.

Ukitazama video nzima ya dakika tano utagundua kabisa sio Meena Ally ila tu wanafanana kwa mbali, hivyo huyo jamaa alisubiri mpaka huyo mdada akae Angle fulani hivi ambayo itakuwa ngumu sana watanzania kugundua, lakini kama angekuwa meena kweli angevujisha Clip nzima na sio nusu tu na alijua akipost nzima wabongo watashitukia.

Pia kitu kingine hiyo video kwenye hiyo website imeapplodiwa MIEZI SABA ILIYOPITA, na ni kwenye channel ya Nje kabisa sio ya bongo hiyo. Watanzania Hebu Swipe Left hapo muone harafu tuone kama mtaendelea kubisha. Muacheni meena wa watu apumue.


HUYO KWENYE HIYO VIDEO ANAITWA AMANDA, NI MCHEZA XXX ANAVIDEO KIBAO TU. NIKO NAJARIBU KUFATILIA OFFICIAL ACCOUNT YAKE YA INSTA ILA YA TWITTER TAYARI NINAYO.

Download App ya Udaku Special BURE Kwenye Simu yako Upate Hizi Habari zetu Kirahisi...Bonyeza HAPA
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad