Takribani miili 20 ya watu imeopolewa kutoka Mtoni Nchini Kenya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Takribani miili 20 ya watu imeopolewa kutoka Mto Yala nchini Kenya siku za karibuni, kwa mujibu wa Haki Africa. Shirika hilo la utetezi wa haki za binadamu limesema baadhi ya miili hiyo ambayo hutupwa usiku ilikuwa kwenye mifuko, mingine imefungwa na mingine ikiwa na majeraha.

Hospitali ya jirani na eneo hilo imeeleza kwamba hupokea miili isiyo na wahusika, na hivyo kulazimika kuizika ili kutoa nafasi kuhifadhi miili mipya mochwari
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad