Sababu zitakazoipa Yanga SC Ubingwa NBC Tanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Kocha Mkuu wa Yanga, Nesreddine Nabi amefunguka na kusema kuna mambo mawili ambayo yataifanya klabu yake ya Yanga kuibeba Ubingwa wa Ligi Kuu NBC Tanzania kwa msimu huu wa mwaka 2021-2022.
“Yanga wana ukame wa kutwaa taji ndani ya misimu mine, nimefuatilia na nimebaini mapungufu ndani ya misimu hiyo ni ufinyu wa kikosi na kukosa mastaa wenye mwendelezo wa ubora kitu ambacho msimu huu anacho,” alisema Nabi

“Nafurahi msimu huu nimeikuta timu nzuri na ina kikosi kipana ambacho akikosekana mmoja mwingine anachukua nafasi na anafanya kile kinachotakiwa kufanywa,” aliongeza Kocha huyo.

Nabi alisema Yanga ya msimu huu imekuwa na mfululizo wa majeruhi lakini hakuna pengo linaloonekana tofauti na misimu iliyopita na aliongeza kuwa mastaa wake wana ari ya ushindani.

Yanga ndio vinara wa ligi hiyo baada ya kucheza michezo 14 ya mzunguko wa kwanza na kukusanya pointi 36 wakiwa mbele pointi tano na watani zao Simba walio nafasi ya pili na pointi 35.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad