Mzee Yussuf Kuacha Tena Mziki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mkali wa Taarab Mzee Yussuf amesema kuna uwezekano wa kuacha tena mziki baada ya miaka miwili au mitatu ijayo kwa sababu atakuwa mtu mzima ila kwa sasa anataka kufaidi pesa za Digital.

Mzee Yussuf ameongeza kusema hata alivyoacha mziki hakuwa ame-miss kitu chochote na maisha yake yalikuwa yaleyale tu hakuwa na shida yoyote.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad