Nyoka 'Mnywa uji' Asakwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Juhudi za kumuondoa Koboko ‘Nyoka mnywa uji’ maeneo ya Mlimani City Luanzari Manispaa ya Tabora limeanza chini ya uangalizi wa askari wa maliasili.


Jina la ‘nyoka mnywa uji’ lilianza baada ya jaribio la mganga wa kienyeji kumkamata nyoka huyo kwa kutumia uji kushindikana, huku akisema nyoka aliingiza kichwa kwenye chungu cha uji wa moto tangu hapo watu wakaanza kusema nyoka kanywa uji wa moto na huo ndio ukawa mwanzo wa jina hilo.

Uwepo wa nyoka huyo katika eneo hilo umesimamisha shughuli za uchumi na kukwamisha ujenzi uliokua ukiendelea jirani na mti huo na mafundi ujenzi wamekataa kufanya kazi katika eneo hilo kwa hofu ya nyoka huyo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad