Urusi Yaridhia Wanafunzi wa Kitanzania Kutoka Ukraine

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Balozi za Tanzania za Stockholm Sweden na Moscow, Urusi zimesema Serikali ya Urusi imeridhia Wanafunzi wa Kitanzania waliokwama kwenye Mji wa Sumy nchini Ukraine watumie mpaka wa Urusi ambao ndio upo karibu zaidi na Mji huo.

Zoezi la kutoa Wanafunzi wote kutoka Sumy hadi mpaka wa Urusi litaratibiwa na Serikali ya Urusi na tayari imeanza mpango wa utekelezaji, Wanafunzi wakifika mpakani, Ubalozi wa Tanzania nchini Urusi utawapokea kwa taratibu zingine za kurejea nyumbani.





----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad