Waliokua Makomandoo wa JWTZ Ambao Walishtakiwa na Mbowe Kwenye Kesi ya Ugaidi, Leo Wamejiunga Rasmi Chadema

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Waliokua Makomandoo wa JWTZ, Luteni Bwire, Adamoo pamoja na Ling'wenya ambao walishtakiwa pamoja na Mbowe kwenye kesi ya ugaidi, leo wamejiunga rasmi na chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) na kukabidhiwa kadi na Mwenyekiti Freeman Mbowe, katika kongamano la siku ya wanawake lililofanyika mkoani Iringa.

Nini maoni yako?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad