Wanafunzi Wachoma Piki Piki ya Mwalimu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Singida, Stella Rutabihirwa amethibitisha kushikiliwa kwa wanafunzi sita wa kidato cha tano na sita Mchepuo wa CBG, kutoka Shule ya Sekondari Mwenge iliyopo Manispaa ya Singida kwa tuhuma za kuchoma Pikipiki ya mwalimu wa shule hiyo na kuharibu mazao.

Akizungumza mkoani hapo amesema kuwa tukio hilo lilitokea Februari 24 mwaka huu saa 5:30 usiku katika eneo la shule hiyo, huku akibainisha kuwa uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha tukio hilo ni mwalimu wa shule kumwadhibu mwanafunzi mwenzao wa kidato cha sita, kwa kosa la kuficha simu aliyokuwa akiimiliki kinyume na taratibu za shule.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad