Barbara Gonzalez Afunguka Hali ya Simba South Africa "Tumenyimwa Tena Ulinza Wakati wa Mazoezi Ila..."

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Safari ilienda vizuri, wachezaji wote wapo salama. Changamoto pekee tuliyokutananayo ni ya kiusalama, timu inapofika ugenini kitu cha kwanza ni ulinzi na usalama. Tulinyimwa escort wakati tunawasili kwenda hotelini na tumenyimwa tena escort wakati tunaenda mazoezini

Tukaamua kupambana kwa kushirikiana na wadau akiwemo Balozi wa Tanzania na tumeamua kukodi gari la ulinzi. Lazima uwe na ‘Plan B’ kwa hiyo kama klabu tumefanikiwa kwa yale ambayo tulikuwa tumepanga kufanya tukiwa huku.

Tunataka kufuzu, kama tutapata matokeo ya sare au ushindi japo hatujui mwalimu amepanga nini, kwenye eneo hilo tumemwachia yeye.

- Barbara Gonzalez [@bvrbvra], Mtendaji Mkuu Simba
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad