Habari Mbaya Kwa Diamond Platnumz ..Account yake ya YouTube Yadukuliwa Kwa Mara ya Pili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Habari mbaya kwa Diamond Platnumz na mashabiki wake kwa ujumla, channel ya youtube ya Diamond Platnumz imedukuliwa tena (hacked) ikiwa ni mara ya pili tangu lifanyike tukio hilo siku ya jumapili.

Channel hiyo yenye jumla ya Subscribers 6.6M imedukuliwa na kupandishwa maudhui ya kampuni ya magari TESLA inayomilikiwa na tajiri Elon Musk ambaye pia ameingia LIVE kwenye channel hiyo.

Aidha, channel hiyo ya Diamond kwasasa imebadilishwa jina na wadukuzi hao pamoja na profile picture. Kwa sasa inatwa Tesla Corporation.

✍️: @omaryramsey

#

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad