Ndege ya mizigo Aina ya Boeing ya DHL, imepata Ajali na Kukatika Vipande Viwili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ndege ya mizigo aina ya Boeing 757-200 inayomilikiwa na Kampuni ya Usafirishaji ya DHL, imepata ajali mbaya kwa kukatika vipande viwili ilipotua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Juan Santamaria uliopo San José, nchini Costa Rica.

Mamlaka ya usafirishaji wa anga nchini humo imetoa taarifa kuwa ndege hiyo ilikuwa inaelekea Guatemala ikitokea uwanjani hapo, lakini baada ya dakika 25 ikiwa angani rubani wa ndege alipiga simu ya dharura na kuomba kurudi tena ili atue uwanjani hapo.

Hakuna taarifa za vifo kutokana na ajali hiyo ya kutisha! katika kipande hiki cha video kinaonesha ndege hiyo ikiwa imekatika vipande viwili huku juhudi za uokoaji zikiwa zinaendelea.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad