Pablo, Kapombe Wadai Orlando Anakufa, Mashabiki Wajae kwa Mkapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




KOCHA wa Klabu ya soka ya Simba Pablo Franco Martin amesema kwa upande wao kama timu wapo vizuri kuanzia benchi la Ufundi na wachezaji kwa ujumla.

Katika mahojiano yake na Waandishi wa Habari mapema asubuhi hii Kocha Pablo ametoa rai kwa mashabiki wa Simba kujitokeza kwa wingi waujaze uwanja huo wa Benjamin Mkapa siki ya kesho ili kuwasapoti wachezaji katika mchezo huo wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika.

Pablo amesisitiza kuwa ni wazi klabu ya Simba imekuwa na rekodi nzuri inapocheza nyumbani kwahiyo wachezaji na timu kwa ujumla wanakila sababu ya kutumia faida ya uwanja wa nyumbani na kuhakikisha wanashinda pambano hilo.


                                 Mlinzi wa Kulia wa Klabu ya Simba Shomari Kapombe
Naye Beki wa Kulia wa Simba Shomari Kapombe ambaye aliambatana na kocha wake katika mkutano na waandishi wa habari amesema wachezaji wamejiandaa vizuri na wapo tayari katika kupata ushindi kwa mchezo wa kesho japo amekiri mchezo utakuwa mzuri na mgumu kwa timu zote mbili.


 
Klabu ya Simba inatarajiwa kucheza na Orlando Pirates ya nchini Afrika Kusini katika mchezo wa kufuzu wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam Jumapili ya Aprili 17 mwaka huu.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad