AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amekutana na Ronald Fenty ambaye ni Baba wa Msanii Maarufu Robyn Rihanna Fenty maarufu kama Rihanna.
Baba mzazi wa Rihanna ni miongoni mwa watu waliofika katika ukumbi wa Paramount Pictures, kwa ajili ya kuangalia Filamu ya Tanzania Royal Tour.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK