Rais Samia Akutana na Baba Mzazi wa Rihanna



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amekutana na Ronald Fenty ambaye ni Baba wa Msanii Maarufu Robyn Rihanna Fenty maarufu kama Rihanna.

Baba mzazi wa Rihanna ni miongoni mwa watu waliofika katika ukumbi wa Paramount Pictures, kwa ajili ya kuangalia Filamu ya Tanzania Royal Tour.
______

Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA



 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad