AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapa Megan Thee Stallion ameendelea kufunguka ambayo hatuyafahamu kwenye shtaka lake la kupigwa risasi ya mguu na Tory Lanez Julai 12 mwaka 2020 Jijini Los Angeles, shtaka ambalo bado linaendelea mahakamani.
Leo (April 25) Televisheni ya CBS imeachia mahojiano yote ya Megan Thee Stallion ambayo alifanya na Gayle King, alisema Tory Lanez alijaribu kumfumba mdomo kwa kutaka kumpa kiasi cha ($1M) zaidi ya TSh. Bilioni 2.3 ili asiwaambie polisi kuwa ndiye aliyempiga risasi.
“Aliomba radhi, alisema samahani sana tafadhali usimwambie mtu yeyote, nitakupatia ‘Dola Milioni’ kama hutosema chochote.” alieleza Megan Thee Stallion kwa uchungu huku akifuta machozi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK