Ratiba ya Kufuzu AFCON Yatoka, Taifa Stars na Uganda Zapangwa Kundi Moja

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Makundi ya kushiriki kufuzu fainali za mataifa ya Afrika nchini Ivory Coast mwakani
MAKUNDI ya kufuzu fainali za mataifa ya Afrika AFCON imetoka ambapo timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars imeangukia kwenye kundi F ambalo linashirikisha mataifa ya Uganda, Niger pamoja na Algeria.

Bingwa mtetezi, timu ya taifa ya Senegal itaanza harakati za kutetea kombe lake katika kundi L ambalo linashirikisha timu za Jamhuri ya Benin, Rwanda pamoja na Msumbiji.

Mwenyeji wa Mashindano timu ya taifa ya Ivory Coast imepangwa kundi H na timu za taifa za Zambia, Comoro pamoja na Lesotho.



Makundi rasmi ya kufuzu AFCON 2023 nchini Ivory Coast
Mashindano hayo yanatarajiwa kufanyika nchini Ivory Coast mwakani ambapo hadi sasa maandalizi yanaendela vizuri ikiwa ni pamoja na uandaaji wa viwanja pamoja na miundombinu mingine.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad