AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kulingana na mahojiano yake na kituo cha BBC Swahili jijini London Uingereza, mwanamuziki @diamondplatnumz amewataja wanamuziki @anjella_tz na ibraah_tz wote kutoka KondeGang kama wajukuu zake katika sanaa.
Simba🦁 Diamond ameeleza kuwa huwa anafurahi kuona msanii aliyemsaidia na yeye akiwasaidia wengine na kuongeza idadi ya wasanii wapya nchini
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK