AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapa mkongwe kutokea Marekani, Snoop Dogg amesema yeye ndio mtu mashuhuri wa kwanza kuanza kutumia mtandao wa Instagram.
Kupitia Mahojiano aliyoyafanya na #DrinkChamp ya #Nore na #DjEFN
Snoop amesema kuwa watu wengi huwa wanabisha na kusema Soulja Boy alikuwa Staa wa kwanza kuanza kuitumia instagram lakini ukweli ni kwamba yeye ndiyo alianza.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK