Snoop Dogg Ajitapa "Mimi Ndio STAR wa Kwanza Kujiunga Instagram"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rapa mkongwe kutokea Marekani, Snoop Dogg amesema yeye ndio mtu mashuhuri wa kwanza kuanza kutumia mtandao wa Instagram.

Kupitia Mahojiano aliyoyafanya na #DrinkChamp ya #Nore na #DjEFN
Snoop amesema kuwa watu wengi huwa wanabisha na kusema Soulja Boy alikuwa Staa wa kwanza kuanza kuitumia instagram lakini ukweli ni kwamba yeye ndiyo alianza.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad