Goli la Simba Latajwa Kuwa Goli Bora kwenye kombe la Shirikisho CAF Kwenye

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Goli la kiungo mshambuliaji wa Simba sc , Pape O.Sakho limetajwa katika orodha ya magoli bora yaliyofungwa msimu huu 2021/22 kwenye kombe la Shirikisho CAF.

Kutoka katika ukurasa rasmi wa CAF (twitter) wame-post magoli bora yaliyofungwa msimu huu huku la Sakho likiwa la kwanza kwenye orodha hiyo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad