Mchezaji wa Mpira Ana Miezi 6 ya Kuishi Duniani Kisa Hichi Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mchezaji wa zamani wa Rangers na Manchester United, Andy Goram amebakisha miezi 6 ya kuendelea kuishi duniani baada ya kugundulika ana ugonjwa wa saratani.

Andy aliwahi kucheza Manchester United kwa mkopo mwaka 2000.

Andy (58) alianza kuumwa mwezi mmoja uliopita na alipoanza kuumwa alichukulia hali ya kawaida tu ,hali ilivyoanza kubadilika aliwasiliana na daktari wake na kupelekwa hospitali.

Baada ya vipimo majibu yakaja ana ugonjwa wa saratani ambao umesambaa kwenye ini, na mapafu na ataweza kuishi kwa miezi 6 akiwa na ugonjwa huo.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad