Mwanamke Aishitaki Tik Tok Baada ya Mtoto Wake Kushiriki Blackout Challenge na Kufariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mwanamke kutokea Jimbo la Pennsylvania nchini Marekani ameishtaki TikTok kuhusu kifo cha Mtoto wake wa miaka 10, kwa mujibu wa CBS Mama huyo aitwaye Tawainna Anderson amewasilisha kesi hiyo, takriban miezi mitano baada ya Binti yake Nylah, kushiriki katika ‘Blackout Challenge’ kwenye mtandao huo.

Challenge hiyo huwataka Watumiaji wa TikTok kujikaba hadi kuzimia, ambapo Nylah kabla ya kifo chake anadaiwa alishiriki challenge hiyo.

Desemba 7, Nylah aliripotiwa kukutwa akiwa amepoteza fahamu chumbani kwa Mama yake ambaye anasema alimkuta Binti yake amejining’iniza kwa kutumia kamba ya mkoba wake ambapo alimpeleka Hospitali akalawaza ICU hadi kifo chake mnamo Desemba 12.

Mama huyo amesema , TikTok inawapumbaza Watoto kwa ajili ya faida ya kampuni bila kujali afya zao "Nataka kuiwajibisha kampuni hii, ni wakati wa hii michezo hatari kufikia mwisho, ili Familia nyingine zisiwe na huzuni tunayoishi nao kila siku"

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad