Rais Samia "Sasa ni Rukhsa Kwa Filamu ya Royal Tour Kuoneshwa Kwenye TV Zote Tanzania"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rais Samia kwenye uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour Dar es salaam leo amesema kwa sasa ni rukhsa kwa TV zote na Watu wote kuionesha Filamu hiyo baada ya uzinduzi wake wa mwisho kuhitimishwa leo.

"Tulianza uzinduzi Marekani, Arusha, Zanzibar na leo tunahitimisha hapa Dar es salama na kuanzia leo kama alivyosema Katibu Mkuu itakuwa rukhsa kwa TV zote na Watu wote kuionesha na iweze kuonekana na Watanzania wote"

"Nashukuru tumewaletea kitu kitakachobaki kuwa urithi kwa vizazi vya sasa na vijavyo na sio urithi tu wa kuangalia Filamu na kuburudika lakini pia kuutangaza utalii wetu kwa faida za kiuchumi na kijamii"

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad