Rais Samia "Sasa ni Rukhsa Kwa Filamu ya Royal Tour Kuoneshwa Kwenye TV Zote Tanzania"


Rais Samia kwenye uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour Dar es salaam leo amesema kwa sasa ni rukhsa kwa TV zote na Watu wote kuionesha Filamu hiyo baada ya uzinduzi wake wa mwisho kuhitimishwa leo.

"Tulianza uzinduzi Marekani, Arusha, Zanzibar na leo tunahitimisha hapa Dar es salama na kuanzia leo kama alivyosema Katibu Mkuu itakuwa rukhsa kwa TV zote na Watu wote kuionesha na iweze kuonekana na Watanzania wote"

"Nashukuru tumewaletea kitu kitakachobaki kuwa urithi kwa vizazi vya sasa na vijavyo na sio urithi tu wa kuangalia Filamu na kuburudika lakini pia kuutangaza utalii wetu kwa faida za kiuchumi na kijamii"

______

Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA



 
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad