AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamuziki 'Rihanna' @badgalriri ametangaza rasmi kuanza kuingiza bidhaa zake za urembo zijulikanazo kama @fentybeauty na @fentyskin barani Afrika.
Rihanna ambaye amejikita zaidi katika masuala ya biashara kwa kipindi cha miaka ya hivi karibuni, katika taarifa yake kupitia ukurasa wake wa Instagram ameyataja mataifa ambayo yamepata bahati hiyo kuwa ni Botswana, Ghana, Kenya, Namibia, Nigeria, South Africa, Zambia na Zimbabwe.
Aidha, bidhaa hizo zitaanza kuingia kwenye mataifa hayo ya Afrika kuanzia Mei 27 mwaka huu. "Huu ni mwanzo tu" - ameeleza Rihanna ambaye anatarajia kujifungua hivi karibuni.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK