Watatu Wafariki Dunia Katika Ajali Manyara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Watu watatu wamefariki dunia na wengine 26 kujruhiwa baada ya gari la abiria la Mohamed Classic lenye namba za usajili T 643 DJP kugongana na gari aina ya Fuso lenye namba za usajili T 830 DWF katika eneo la Katesh wilaya ya Hanang mkoani Manyara.


Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Benjamin Kuzaga amesema ajali hiyo imetokea leo Jumanne Mei 24 huko Katesha wilayani Hanang’ mkoani Manyara kwenye barabara ya Singida-Arusha.



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad