AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wazee wa Yanga wametoa Siku mbili Kwa mchezaji aliyebadilishana jezi na Mayele kwenye mechi ya Mwisho ambayo alifunga,
Wazee Wanasema kwamba mchezaji waliyebadilishana nae jezi airudishe jezi hiyo laa sivyo litakamkuta Jambo ambalo sio jema kwake na familia yake pia,
Mechi ya Mwisho Mayele kufunga ilikuwa dhidi ya Namungo.
🚶Picha kutoka Maktaba
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK