AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bunge limepitisha bajeti Kuu ya serikali ya shilingi trilioni 41.48 kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023.
Akisoma idadi ya kura za wabunge waliopitisha bajeti hiyo Spika wa bunge Dkt. Tulia Ackson amesema idadi ya wabunge waliopiga kura ni 379, waliosema ndio ni 356, hakuna waliosema hapana na ambao hawakuamua ni 23 hivyo idadi ya wabunge waliosema ndio wamepitisha bajeti hiyo kwa asilimia 94.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK