Bunge lapitisha Bajeti Kuu ya Serikali 2022/23

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Bunge limepitisha bajeti Kuu ya serikali ya shilingi trilioni 41.48 kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023.

Akisoma idadi ya kura za wabunge waliopitisha bajeti hiyo Spika wa bunge Dkt. Tulia Ackson amesema idadi ya wabunge waliopiga kura ni 379, waliosema ndio ni 356, hakuna waliosema hapana na ambao hawakuamua ni 23 hivyo idadi ya wabunge waliosema ndio wamepitisha bajeti hiyo kwa asilimia 94.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad