Hukumu ya Kesi Lengai Ole Sabaya na wenzake Kutolewa Leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Hukumu ya kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake inatarajiwa kutolewa leo Juni 10, 2022 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha

Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama hiyo, Patricia Kisinda aliyekuwa anasikiliza kesi hiyo, alipanga kutoa hukumu hiyo Mei 31, 2022 lakini ilishindikana kutokana na kudaiwa kuwa nje ya Kituo cha Kazi

Sabaya na wenzake pia walifunguliwa mashitaka mengine ya Uhujumu Uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, Juni Mosi, 2022 ambayo bado yanaendelea

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad