AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu, amesema kwamba mara baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani Mhandisi Hamad Masauni, kusema kwamba wale wote walioondoka nchini kwa sababu za kisiasa warudi, yeye na wenzake kwa sasa wataanza kujiandaa kurudi.
Lissu ametoa kauli hiyo hii leo Juni 7, 2022, wakati akizungumza kwenye #EATVSaa1 moja kwa moja kutoka nchini Ubelgiji, licha ya kutotaja tarehe rasmi, amesema kauli ya serikali juu yao ni nzuri hivyo yeye na wenzake watawasiliana na viongozi wao,pamoja na familia zao ili kuona wanarudije yumbani
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK