Huu Hapa Ndiyo Msimamo wa Tundu Lissu Kuhusu Kurudi Tanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu, amesema kwamba mara baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani Mhandisi Hamad Masauni, kusema kwamba wale wote walioondoka nchini kwa sababu za kisiasa warudi, yeye na wenzake kwa sasa wataanza kujiandaa kurudi.

Lissu ametoa kauli hiyo hii leo Juni 7, 2022, wakati akizungumza kwenye #EATVSaa1 moja kwa moja kutoka nchini Ubelgiji, licha ya kutotaja tarehe rasmi, amesema kauli ya serikali juu yao ni nzuri hivyo yeye na wenzake watawasiliana na viongozi wao,pamoja na familia zao ili kuona wanarudije yumbani
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad