Klabu ya Liverpool ipo Tayari Kumuachia Mshambuliaji wake Sadio Mane

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Klabu ya Liverpool ipo tayari kumuachia mshambuliaji wake Sadio Mane, ajiunge na klabu ya Bayern Munich ya nchini Ujerumani kwa dau la pauni milioni 40.


Mane mwenye umri wa miaka 30, amekuwa akishinikiza kutaka kuondoka wakati huu wa majira ya kiangazi.


Liverpool watakubali kuchukua kiasi hicho cha pesa ili kutunisha kibubu chao waweze kuinasa saini ya Darwin Nunez ambaye anatajwa kuwa na thamani ya pauni milioni 60.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad